Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 20

Matendo 20:28-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.
29Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa mwitu wakali watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo.

Read Matendo 20Matendo 20
Compare Matendo 20:28-29Matendo 20:28-29