Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 19:18-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 19:18-20 in Biblia Takatifu

18 Waumini wengi walijitokeza wakakiri hadharani mambo waliyokuwa wametenda.
19 Wengine waliokuwa wameshughulikia mambo ya uchawi hapo awali, walikusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya wote. Walikisia gharama ya vitabu hivyo, wakaona yafikia vipande vya fedha elfu hamsini.
20 Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.
Matendo 19 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 19:18-20 in Biblia ya Kiswahili

18 Pia, wengi wa waumini walikuja na wakaungama na wakidhihirisha matendo mabaya waliyoyafanya.
19 Wengi waliokuwa wakifanya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya kila mtu. Wakati wao walipohesabu thamani ya vitu hivyo, ilikuwa vipande hamsini elfu vya fedha.
20 Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika nguvu.
Matendo ya Mitume 19 in Biblia ya Kiswahili