Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 19

Matendo 19:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Watoto saba wa Skewa, Kuhani Mkuu wa Kiyahudi, walikuwa miongoni mwa hao waliokuwa wanafanya hivyo.
15Lakini pepo mbaya aliwajibu, “Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini ninyi ni nani?”
16Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na wamejaa majeraha.

Read Matendo 19Matendo 19
Compare Matendo 19:14-16Matendo 19:14-16