Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 18

Matendo 18:22-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Meli ilitia nanga Kaisarea, naye Paulo akaenda Yerusalemu kulisalimia lile kanisa, kisha akaenda Antiokia.
23Alikaa huko muda mfupi, halafu akaendelea na safari kwa kupitia sehemu za Galatia na Frugia akiwatia moyo wafuasi wote.
24Myahudi mmoja aitwaye Apolo, mzaliwa wa Aleksandria, alifika Efeso. Alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa Maandiko Matakatifu.

Read Matendo 18Matendo 18
Compare Matendo 18:22-24Matendo 18:22-24