Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 18

Matendo 18:11-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.
12Lakini wakati Galio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Akaya, Wayahudi walimvamia Paulo kwa pamoja na kumpeleka mahakamani.
13Wakasema, “Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na Sheria.”

Read Matendo 18Matendo 18
Compare Matendo 18:11-13Matendo 18:11-13