Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 16

Matendo 16:26-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Ghafla, kulitokea mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana.
27Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua.

Read Matendo 16Matendo 16
Compare Matendo 16:26-27Matendo 16:26-27