Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 15

Matendo 15:29-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Msile vyakula vilivyotambikiwa sanamu; msinywe damu; msile nyama ya mnyama aliyenyongwa; na mjiepushe na uasherati. Mtakuwa mmefanya vema kama mkiepa kufanya mambo hayo. Wasalaam!”
30Baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea Antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua.

Read Matendo 15Matendo 15
Compare Matendo 15:29-30Matendo 15:29-30