Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 15

Matendo 15:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Sasa basi, kwa nini kumjaribu Mungu kwa kuwatwika hao waumini mzigo ambao wala babu zetu, wala sisi hatukuweza kuubeba?
11Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tunaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu.”
12Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza miujiza na maajabu ambayo Mungu alitenda kwa mikono yao kati ya watu wa mataifa mengine.

Read Matendo 15Matendo 15
Compare Matendo 15:10-12Matendo 15:10-12