Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:31-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Naye, kwa siku nyingi aliwatokea wale waliofuatana naye kutoka Galilaya mpaka Yerusalemu. Hao ndio walio sasa mashahidi wake kwa watu wa Israeli.
32Sisi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu amelitimiza sasa kwa ajili yetu sisi tulio wajukuu wao kwa kumfufua Yesu kutoka wafu.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:31-32Matendo 13:31-32