Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:28-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
29Na baada ya kutekeleza yote yaliyokuwa yameandikwa kumhusu yeye, walimshusha kutoka msalabani, wakamweka kaburini.
30Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:28-30Matendo 13:28-30