Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 11

Matendo 11:24-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.
25Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo
26Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
27Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
28Basi, mmoja wao aitwaye Agabo alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (Njaa hiyo ilitokea wakati Klaudio alipokuwa akitawala).

Read Matendo 11Matendo 11
Compare Matendo 11:24-28Matendo 11:24-28