Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 11:24-27 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 11:24-27 in Biblia Takatifu

24 Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.
25 Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo
26 Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
27 Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
Matendo 11 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 11:24-27 in Biblia ya Kiswahili

24 Kwa sababu alikuwa mtu mwema na amejazwa na Roho Mtakatifu na imani na watu wengi wakaongezeka katika Bwana.
25 Baadaye Barnaba alienda Tarso kumwona Sauli.
26 Alipompata, akamleta Antiokia. Ikawa kwa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi wakaitwa wakristo kwa mara ya kwanza huko Antiokia.
27 Na katika siku hizi manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia.
Matendo ya Mitume 11 in Biblia ya Kiswahili