Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:32-35

Help us?
Click on verse(s) to share them!
32Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petroi; yuko nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi karibu na bahari.
33Kwa hiyo nilikutumia ujumbe bila kuchelewa, nawe umefanya vyema kuja. Sasa, sisi tuko mbele ya Mungu, kusikiliza chochote ambacho bwana amekuamuru kusema.”
34Hapo Petro akaanza kusema: “Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.
35Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda haki anapokelewa naye.

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:32-35Matendo 10:32-35