Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:18-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”
19Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa lile maono, na hapo Roho akamwambia, “Sikiliza! kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
20Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”
21Basi, Petro akateremka chini, akawaambia hao watu, “Mimi ndiye mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?”

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:18-21Matendo 10:18-21