Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Marko - Marko 6

Marko 6:30-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Na mitume, walikusanyika pamoja mbele ya Yesu, wakamweleza yote waliyofanya na waliyoyafundisha.
31Naye akawaambia, “Njooni wenyewe mahali pa faragha na tupumzike kwa muda.” Watu wengi walikuwa wanakuja na kuondoka, hata hawakupata nafasi ya kula.
32Hivyo wakapanda mashua wakaenda mahali pa faragha peke yao.

Read Marko 6Marko 6
Compare Marko 6:30-32Marko 6:30-32