Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Marko 5:27-29 in Swahili (individual language)

Help us?

Marko 5:27-29 in Biblia Takatifu

27 Alikuwa amesikia habari za Yesu, na hivyo akaupenya msongamano wa watu kutoka nyuma, akagusa vazi lake.
28 Alifanya hivyo, maana alijisemea, “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”
29 Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
Marko 5 in Biblia Takatifu

Marko 5:27-29 in Biblia ya Kiswahili

27 Alisikia habari kuhusu Yesu. Hivyo alikuja nyuma yake wakati alipokuwa akitembea ndani ya umati, naye aliligusa vazi lake.
28 Kwa kuwa alisema, “Kama nikiyagusa mavazi yake tu, nitakuwa mzima.”
29 Alipomgusa, kutokwa damu kulikoma, na alijisikia katika mwili wake kwamba aliponywa kutoka kwenye mateso yake.
Marko 5 in Biblia ya Kiswahili