Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Marko - Marko 5

Marko 5:27-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27Alisikia habari kuhusu Yesu. Hivyo alikuja nyuma yake wakati alipokuwa akitembea ndani ya umati, naye aliligusa vazi lake.
28Kwa kuwa alisema, “Kama nikiyagusa mavazi yake tu, nitakuwa mzima.”
29Alipomgusa, kutokwa damu kulikoma, na alijisikia katika mwili wake kwamba aliponywa kutoka kwenye mateso yake.

Read Marko 5Marko 5
Compare Marko 5:27-29Marko 5:27-29