Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 6

Mambo ya Walawi 6:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Bwana alisema na Musa kumwabia,
2“Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
3Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.

Read Mambo ya Walawi 6Mambo ya Walawi 6
Compare Mambo ya Walawi 6:1-3Mambo ya Walawi 6:1-3