Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 6:1-3 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 6:1-3 in Biblia ya Kiswahili

1 Bwana alisema na Musa kumwabia,
2 “Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
3 Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.
Mambo ya Walawi 6 in Biblia ya Kiswahili