Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 21

Mambo ya Walawi 21:18-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Mtu yeyote mwenye kasoro mwilini mwake asimkaribie Yahweh,
19mtu kama vile: kipofu au mtu asiyeweza kutembea, mtu aliyeharibiwa uso au kupungukiwa na viungo mwilini, mtu aliye na mguu au mkono wenye ulemavu,

Read Mambo ya Walawi 21Mambo ya Walawi 21
Compare Mambo ya Walawi 21:18-19Mambo ya Walawi 21:18-19