Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 10

Mambo ya Walawi 10:8-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
9“Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,

Read Mambo ya Walawi 10Mambo ya Walawi 10
Compare Mambo ya Walawi 10:8-9Mambo ya Walawi 10:8-9