Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 4

Luka 4:14-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Yesu alirudi Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu zote za jirani.
15Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.
16Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu kwa sauti.
17Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Read Luka 4Luka 4
Compare Luka 4:14-17Luka 4:14-17