Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 23

Luka 23:30-35

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Ndipo watakapo anza kuiambia milima, 'Tuangukieni,' na vilima, 'Mtufunike.'
31Maana kama wakifanya mambo haya ikiwa mti mbichi, itakuwaje ukiwa mkavu?”
32wanaume wengine, wahalifu wawili, walipelekwa pamoja naye ili wauwawe.
33Walipofika mahali paitwapo Fuvu la kichwa, ndipo wakamsulubisha pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wa kulia na mwingine upande wa kushoto.
34Yesu alisema, “Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. “Nao wakapiga kura, kugawa mavazi yake.
35Watu walikuwa wamesimama wakiangalia huku watawala wakimdhihaki, wakisema, “Aliwaokoa wengine. Sasa ajiokoe mwenyewe, kama yeye ni Kristo wa Mungu, mteule”.

Read Luka 23Luka 23
Compare Luka 23:30-35Luka 23:30-35