Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Luka 22:38-39 in Swahili (individual language)

Help us?

Luka 22:38-39 in Biblia Takatifu

38 Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”
39 Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.
Luka 22 in Biblia Takatifu

Luka 22:38-39 in Biblia ya Kiswahili

38 Kisha wakasema, “Bwana, tazama! Hizi hapa panga mbili.” Na akawaambia “yatosha.”
39 Baada ya chakula cha usiku, Yesu aliondoka, kama ambavyo amekuwa akifanya mara kwa mara, akaenda mlima wa Mzeituni, na wanafunzi wakamfuata.
Luka 22 in Biblia ya Kiswahili