Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 22

Luka 22:38-39

Help us?
Click on verse(s) to share them!
38Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”
39Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.

Read Luka 22Luka 22
Compare Luka 22:38-39Luka 22:38-39