Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 21

Luka 21:26-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
27Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
28Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
29Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.

Read Luka 21Luka 21
Compare Luka 21:26-29Luka 21:26-29