Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Hesabu 13:25-28 in Swahili (individual language)

Help us?

Hesabu 13:25-28 in Biblia ya Kiswahili

25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Hesabu 13 in Biblia ya Kiswahili