Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 13

Hesabu 13:25-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
26Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
27Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
28Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.

Read Hesabu 13Hesabu 13
Compare Hesabu 13:25-28Hesabu 13:25-28