Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 95:4-8 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 95:4-8 in Biblia ya Kiswahili

4 Mkononi mwake zimo bonde za dunia; navyo vilele vya milima ni vyake.
5 Bahari ni yake, maana aliiumba, na mikono yake ilitengeneza nchi kavu.
6 Oh njoni, tumwabudu na tupige magoti; tupige magoti mbele za Yahwe, muumbaji wetu:
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi tu watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake. Ni heri leo mngesikia sauti yake!
8 Msiifanye migumu mioyo yenu, kama vile huko Meriba, au kama ile siku ya Masa jangwani,
Zaburi 95 in Biblia ya Kiswahili