Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 94:16-19 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 94:16-19 in Biblia ya Kiswahili

16 Ni nani atainuka kunitetea dhidi ya watendao uovu? Ni nani atasimama dhidi ya waovu kwa ajili yangu?
17 Kama Yahwe asingelikuwa msaada wangu, haraka ningekuwa nimelala mahali pa ukimya.
18 Niliposema, mguu wangu unateleza,” Uaminifu wa agano lako, Yahwe, uliniinua.
19 Wasiwasi uwapo mwingi ndani yangu, faraja yako hunifurahisha.
Zaburi 94 in Biblia ya Kiswahili