Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 94

Zaburi 94:16-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Ni nani atainuka kunitetea dhidi ya watendao uovu? Ni nani atasimama dhidi ya waovu kwa ajili yangu?
17Kama Yahwe asingelikuwa msaada wangu, haraka ningekuwa nimelala mahali pa ukimya.
18Niliposema, mguu wangu unateleza,” Uaminifu wa agano lako, Yahwe, uliniinua.
19Wasiwasi uwapo mwingi ndani yangu, faraja yako hunifurahisha.

Read Zaburi 94Zaburi 94
Compare Zaburi 94:16-19Zaburi 94:16-19