3 Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni.
4 Watu hunichukulia kama wale waendao chini shimoni; mimi ni mtu asiye na nguvu.
5 Nimetelekezwa miongoni mwa wafu; niko kama mfu alalaye katika kaburi, wao ambao wewe huwajari tena kwa sababu wametengwa mbali na nguvu zako.
6 Wewe umeniweka katika sehemu ya chini kabisa ya shimo, sehemu yenye giza na kilindini.