Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 85:1-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 85:1-6 in Biblia ya Kiswahili

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. Selah
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Zaburi 85 in Biblia ya Kiswahili