Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 84:7-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 84:7-10 in Biblia ya Kiswahili

7 Huendelea toka nguvu hadi nguvu; kila mmoja wao katika sayuni huonekana mbele ya Mungu.
8 Yahwe Mungu wa majeshi, sikia maombi yangu; Mungu wa Yakobo, usikilize nisemacho! Selah
9 Ee Mungu, uiangalie ngao yetu; uwaangalie wapakwa mafuta wako.
10 Kwa maana siku moja katika nyumba yako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine. Ni bora niwe mlinzi wa mlango katika nyumba ya Mungu wangu, kuliko kuishi katika mahema ya waovu.
Zaburi 84 in Biblia ya Kiswahili