Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 84

Zaburi 84:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Huendelea toka nguvu hadi nguvu; kila mmoja wao katika sayuni huonekana mbele ya Mungu.
8Yahwe Mungu wa majeshi, sikia maombi yangu; Mungu wa Yakobo, usikilize nisemacho! Selah
9Ee Mungu, uiangalie ngao yetu; uwaangalie wapakwa mafuta wako.
10Kwa maana siku moja katika nyumba yako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine. Ni bora niwe mlinzi wa mlango katika nyumba ya Mungu wangu, kuliko kuishi katika mahema ya waovu.

Read Zaburi 84Zaburi 84
Compare Zaburi 84:7-10Zaburi 84:7-10