Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 80:2-8 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 80:2-8 in Biblia ya Kiswahili

2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
Zaburi 80 in Biblia ya Kiswahili