Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 80

Zaburi 80:2-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
3Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
4Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
5Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
6Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.

Read Zaburi 80Zaburi 80
Compare Zaburi 80:2-8Zaburi 80:2-8