Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 79:3-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 79:3-6 in Biblia ya Kiswahili

3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Zaburi 79 in Biblia ya Kiswahili