Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 78:22-30 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 78:22-30 in Biblia ya Kiswahili

22 kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
23 Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
24 Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.
25 Watu walikula mikate ya malaika. Aliwatumia chakula kingi.
26 Alisababisha upepo wa mashariki kupiga mawinguni, na kwa uweza wake aliuongoza upepo wa kusini.
27 Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, na ndege kama wingi wa mchanga wa baharini.
28 Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
29 Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
30 Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.
Zaburi 78 in Biblia ya Kiswahili