Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:22-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
23Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
24Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.
25Watu walikula mikate ya malaika. Aliwatumia chakula kingi.
26Alisababisha upepo wa mashariki kupiga mawinguni, na kwa uweza wake aliuongoza upepo wa kusini.
27Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, na ndege kama wingi wa mchanga wa baharini.
28Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
29Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
30Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:22-30Zaburi 78:22-30