Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 74:12-17 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 74:12-17 in Biblia ya Kiswahili

12 Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13 Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14 Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15 Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16 Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17 Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
Zaburi 74 in Biblia ya Kiswahili