Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 73:9-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 73:9-15 in Biblia ya Kiswahili

9 Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
10 Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
11 Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
12 Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
13 Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
14 Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
15 Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
Zaburi 73 in Biblia ya Kiswahili