Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 69:15-19 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 69:15-19 in Biblia ya Kiswahili

15 Usiache mafuliko ya maji yanielemee, wala kina kisinimeze. Usiache mdomo wa shimo unimeze.
16 Unijibu, Yahwe, maana uaminifu wa agano lako ni mwema; kwa maana rehema zako kwangu ni nyingi, unigeukie.
17 Usiufiche uso wako mbali na mtumishi wako, maana niko katika dhiki; unijibu haraka.
18 Uje kwangu na unikomboe. Kwa sababu ya adui zangu, uwe fidia yangu.
19 Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
Zaburi 69 in Biblia ya Kiswahili