Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 60:8-11 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 60:8-11 in Biblia ya Kiswahili

8 Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9 Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
10 Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
11 Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
Zaburi 60 in Biblia ya Kiswahili