Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 60

Zaburi 60:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
10Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
11Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.

Read Zaburi 60Zaburi 60
Compare Zaburi 60:8-11Zaburi 60:8-11