Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 58:2-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 58:2-5 in Biblia ya Kiswahili

2 Hapana, mnafanya uovu mioyoni mwenu; munaeneza vurugu nchi yote kwa mikono yenu.
3 Waovu huenenda katika upotovu hata walipokuwa tumboni; wao wanaenenda katika upotovu tangu kuzaliwa, wakiongea uongo.
4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka; wako kama fira kiziwi azibaye masikio yake,
5 ambaye hasikilizi sauti ya waganga, haijalishi ustadi walio nao.
Zaburi 58 in Biblia ya Kiswahili