Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 58

Zaburi 58:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Hapana, mnafanya uovu mioyoni mwenu; munaeneza vurugu nchi yote kwa mikono yenu.
3Waovu huenenda katika upotovu hata walipokuwa tumboni; wao wanaenenda katika upotovu tangu kuzaliwa, wakiongea uongo.
4Sumu yao ni kama sumu ya nyoka; wako kama fira kiziwi azibaye masikio yake,
5ambaye hasikilizi sauti ya waganga, haijalishi ustadi walio nao.

Read Zaburi 58Zaburi 58
Compare Zaburi 58:2-5Zaburi 58:2-5