Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 57:5-11 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 57:5-11 in Biblia ya Kiswahili

5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! Selah
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
Zaburi 57 in Biblia ya Kiswahili