3 Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. Selah
4 Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
5 Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. Selah