Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 52

Zaburi 52:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. Selah
4Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
5Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. Selah

Read Zaburi 52Zaburi 52
Compare Zaburi 52:3-5Zaburi 52:3-5